ADVERTISE NOW

ADVERTISE NOW
Advertise with us

Wednesday, June 20, 2012

UHARAMIA HUU HADI LINI?

Nafikiri sasa ifike mahali serikali ya Tanzania iwe na sheria kali kwa watu wanaofanya uharamia kama huu wa picha zinavyoonekana hapa. Chanzo kinasema hii ilitokea katika hifadhi ya wanyama ya taifa Mikumi. Inawezekana kweli waharibifu hawa wasijulikane? Uwepo ushirikiano wa karibu na wananchi wanaozunguka hifadhi zote za wanyama ili matukio kama haya yapungue lakini pia sheria kali ziwekwe. Ningewezasema sheria kali kama za China zinafaa ili kulinda mali za taifa....si wanyama tu lakini rasilimali zote za taifa. Hii binafsi imeniuma sana na natumai serikali itachukua nafasi yake mambo kama haya yasiwepo. Kingine labda serikali inatakiwa kuweka usimamizi wa rasilimali za nchi katika mitaala ya shule kuanzia msingi hadi vyuo vikuu ili kila mtu akue hivo na achukue jukumu.

Huyu Simba si kwamba anaumwa magonjwa ya kawaida ila alitegwa kwa waya na ndo inayomuua kwani iko shingoni inaendelea kumnyonga taratibu. Hatujui aliishia wapi kama kuna mwenye taarifa zaidi tujulishane, na pia kama wahusika walikamatika!!

Nafikiri kitengo kinachohusika kitaona hili.









Chanzo: http://tech.sina.com.cn/d/2012-05-23/07477150795.shtml

11 comments:

  1. I hope this lion was treated after few people saw this. It is better if we will take care of this animals.

    Tanzania Safari Tours

    ReplyDelete
  2. One can also plan for wonderful getaways for several places that are situated near the city. Some of the worth visiting places include Vijaywada, Nagarjunasagar and Nagarjunakonda, Alampura, Bhadrachalam and many more. One can plan to visit the Pakhal Wildlife Sanctuary that is just about hundred and twelve kilometers from Hyderabad.

    Tours and travels in Hyderabad

    ReplyDelete
  3. This information is very usefull for all tourism industry. If you are looking for the tour and travel company then originvietnam.com is the best option for you at affordable prices. Thanks for sharing this informaion.
    Taxi from delhi to shimla

    ReplyDelete
  4. Thanks For Sharing Such A Great Travel Articles, Thanks gain Visit Us For Delhi to Rishikesh taxi

    ReplyDelete
  5. BioDermRx Skin Care :-In reality, ‘natural pores and skin care’ become possibly the first one to be used by man when it first woke-up to the needs of his skin. ‘Organic pores and skin care’ isn't always handiest friendlier to skin, however additionally inexpensive. If exercised in the right manner, organic skin care can save you the prevalence of loads of
    Skin issues and may help keep your skin healthful and younger-searching out a far longer time.Organic fruits and veggies are the maximum popular things on natural skin care routines e.G.

    Buy Now >>> http://multihealthtips.com/biodermrx-skin-care/

    ReplyDelete
  6. Hello everyone welcome to my possess reality and thank you for choose my location for the purpose of amusement. Honorable men are you searching for a swank young lady to create the foremost of your life's momentous minutes. Remarkable escort got to have shocking escort benefits so I turned into a world lesson escort young lady for you. I am Sapna Pari Select Lesson Escorts who offers the finest and loveable offer assistance who needs brilliant escort knowledge in Vadodara. I am perfect for those respectful colleagues who are looking for a classy, provocative and hot young lady.
    http://sapnokipari.com/

    ReplyDelete
  7. http://sapnokipari.com/online-hotel-vadodara-escorts-services.html
    http://sapnokipari.com/real-guide-gallery-photos-girls-vadodara.html
    http://sapnokipari.com/cheap-budget-afford-rate-vadodara-escorts.html
    http://sapnokipari.com/whatsapp-number-call-girls-vadodara.html
    http://sapnokipari.com/

    ReplyDelete
  8. http://sapnokipari.com/whatsapp-number-call-girls-vadodara.html

    ReplyDelete